Monday, February 2, 2015

SASA UNAWEZA KUPIGA SIMU KWA KUTUMIA WHATSAPP



Whatsapp wako kwenye majaribio ya kumfanya mtumiaji wa whatsapp aweze kupiga simu kama ilivyo kwenye viber au skype. Watu wengi tumekuwa tukisubiria kwa hamu mambo haya mazuri ambayo whatsapp wanapanga kutuletea.

Kama wewe umechoka kusubiri na unataka uanze kuwa twangia marafiki zako simu kwa kutumia whatsapp basi unachotakiwa kufanya ni kusoma malekezo yangu chini


JINSI YA KUPIGA SIMU KWA KUTUMIA WHATSAPP

STEP 0
Kabla ya yote, hakikisha simu yako tayari ipo rooted. Kwa wale amabo simu zao bado hazijawa rooted hawataweza kupiga simu kwa kutumia whatsapp. Ili kutaka kujua kama simu yako tayari ipo rooted au bado tembelea link chini.
http://phonetricktz.blogspot.com/2014/11/jinsi-ya-kujua-kama-simu-yako-imekuwa.html

STEP 1
Hakikisha unatumia whatsapp version 2.11.508 au zaidi. Ili kujua version ya whatsapp unayotumia unatakiwa Ufungue whatsapp kwenye simu yako kisha nenda kwenye setting kisha nenda kwenye help kisha nenda kwenye about


STEP 2
Download Terminal Emulator kutoka kwenye play store kisha install kwenye simu yako



STEP 3
Fungua Terminal Emulator kwenye simu yako kisha andika maneno yafuatayo 
su
am start -n com.whatsapp/com.whatsapp.HomeActivity 

Andika su  kisha bonyeza enter

Andika   am start -n com.whatsapp/com.whatsapp.HomeActivity 



kisha bonyeza inter na utapata muonekano kama picha chini

 

STEP 4
Mpaka hapo utakuwa tayari kuanza kupiga simu kwa kutumia whatsapp. 



Ili uweze kumpigia mtu inabidi mwenzako awe amefanya kama wewe ulivyofanya kwa kupitia malekezo niliyo yatoa hapo juu.

Endapo utataka msaada zaidi kuhusiana na simu za android unaweza wasiliana nasi kupitia namba +255716203029.   

No comments:

Post a Comment