Monday, March 16, 2015

JINSI YA KUWEKA THEMES KWENYE SIMU ZA ANDROID


Uzuri wa android kwa kifupi hauna mwisho. Wengi tumeanza kuona utumikaji wa themes kwenye android hasa kwenye CYANOGENMOD ROM.

Kwa kifupi cyanogenmod ndio imeanza kutumia themes kubali muonekano wa simu bila hata ku root simu yako.

Kwa wale ambao hawajui cyanogen ni mfumo ambao unatumika kwenye simu kama ilivyo android au IOS.



 Cyanogen imetoka kwenye android na inafwata misingi ya android kama kuwa open source. Nikisema open source na maanisha kwamba ni free na pia kama wewe ni programmer unaweza kutumia code zao bure na kuzindua mfumo wako mwenyewe.

JINSI YA KUWEKA NA KUTUMIA THEMES Kchini
 SIMU ZA ANDROID

STEP 1
Cha kwanza kabisa unatakiwa uwe unatumia mfumo wa cyanogenmod kwenye simu yako. Ili kuweza kutumia cyanogen mod unatikiwa uweke rom ya cyanogen. Kwa mfano mimi natumia CyanogenMod 12 ambayo ni android 5+. Kuelewa zaidi tazama picha chini



STEP 2
Download themes mbali mbali kisha install kwenye simu yako

Mfano wa kwanza

ORANGE DARK THEME








Huo hapo juu ndio muonekano wa orange dark theme. Unaweza download orange dark theme kwa kutumia link chini
http://forum.xda-developers.com/android/themes/orange-dark-material-cm12-theme-t3008314


Mfano wa pili

RED THEME






Huo hapo juu ndio muonekano wa red theme. Unaweza download Red theme kwa kutumia link chini.
http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=3122603&d=1421657958

Themes zipo nyingi sana na kama unataka kujaribu themes tofauti tofauti tembelea link chini
http://forum.xda-developers.com/android/themes/0-official-mega-cm12-theme-engine-t3006466

Endapo wewe utapenda kuwekewa CYANOGEN MOD kwenye simu yako basi utatakiwa kulipia kiasi cha Tsh 25000. Piga simu namba +255716203029


No comments:

Post a Comment